Jinsi ya Kuomba Cheti Mbadala Kwa waliopoteza au kuharibu vyeti vyao NECTA

Cocoa

Administrator
Staff member
Reaction score
4
Jinsi ya Kuomba Cheti Mbadala - Huduma hii ni kwa wale waliopoteza au kuharibu vyeti vyao vya kidato cha nne, kidato cha sita, au vya taaluma (GATCE/GATSCCE na/au DSEE). Huduma hii inahusu waliofanya mitihani ya CSEE kuanzia mwaka 2008, na wale wa ACSEE, GATCE/GATSCCE au DSEE kuanzia mwaka 2009 hadi sasa. Maombi ya huduma hii yanafanyika mtandaoni.

Kuomba Cheti Mbadala NECTA

Jinsi ya Kuomba Cheti Mbadala Kwa waliopoteza au kuharibu vyeti vyao NECTA
 
Back
Top