Walioitwa kwenye Usaili MDAs & LGAs Utumishi Nyongeza

Cocoa

Administrator
Staff member
Reaction score
4
Hii hapa orodha ya majina ya Walioitwa kwenye Usaili Utumishi muda huu tazama hapa Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 15-04-2025 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo. Wasailiwa wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

Walioitwa kwenye Usaili MDAs & LGAs Utumishi Nyongeza
 
Back
Top